-
Ezekieli 36:37Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Nitawaruhusu pia watu wa nyumba ya Israeli waniombe niwatendee jambo hili: Nitazidisha idadi ya watu wao kama kundi.
-