Ezekieli 37:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi tabiri uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Nitayafungua makaburi yenu+ na kuwainua kutoka katika makaburi yenu, watu wangu, na kuwaleta katika nchi ya Israeli.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 37:12 Ibada Safi, uku. 113 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 24
12 Basi tabiri uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Nitayafungua makaburi yenu+ na kuwainua kutoka katika makaburi yenu, watu wangu, na kuwaleta katika nchi ya Israeli.+