Ezekieli 41:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha akaingia ndani* na kupima nguzo ya pembeni ya mlango, nayo ilikuwa na unene wa mikono miwili, na mlango ulikuwa na upana wa mikono sita. Kuta za pembeni za mlango zilikuwa* mikono saba.
3 Kisha akaingia ndani* na kupima nguzo ya pembeni ya mlango, nayo ilikuwa na unene wa mikono miwili, na mlango ulikuwa na upana wa mikono sita. Kuta za pembeni za mlango zilikuwa* mikono saba.