Ezekieli 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Akapima hekalu, nalo lilikuwa na urefu wa mikono 100. Lile eneo lililo wazi, jengo,* na kuta zake zilikuwa pia na urefu wa mikono 100.
13 Akapima hekalu, nalo lilikuwa na urefu wa mikono 100. Lile eneo lililo wazi, jengo,* na kuta zake zilikuwa pia na urefu wa mikono 100.