Ezekieli 41:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kulikuwa na michongo ya makerubi na michongo ya mitende kwenye milango ya patakatifu, kama ile iliyokuwa ukutani.+ Pia kulikuwa na kifuniko* cha mbao juu ya upande wa mbele wa ukumbi kwa nje.
25 Kulikuwa na michongo ya makerubi na michongo ya mitende kwenye milango ya patakatifu, kama ile iliyokuwa ukutani.+ Pia kulikuwa na kifuniko* cha mbao juu ya upande wa mbele wa ukumbi kwa nje.