Ezekieli 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lilikuwa kati ya ua wa ndani, ambao ulikuwa na upana wa mikono 20,+ na sakafu ya ua wa nje. Mabaraza yake yalitazamana na yalikuwa na urefu wa ghorofa tatu.
3 Lilikuwa kati ya ua wa ndani, ambao ulikuwa na upana wa mikono 20,+ na sakafu ya ua wa nje. Mabaraza yake yalitazamana na yalikuwa na urefu wa ghorofa tatu.