-
Ezekieli 43:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Ikiwa wataaibika kwa sababu ya mambo yote ambayo wamefanya, unapaswa kuwaonyesha ramani ya hekalu, mpangilio wake, na njia zake za kutokea, na za kuingilia.+ Waonyeshe ramani zake zote na maagizo yake, ramani zake na sheria zake, nawe uziandike mbele ya macho yao, ili waone ramani zake zote na kufuata maagizo yake.+
-