-
Ezekieli 46:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Na watu wa nchi wanapoingia mbele za Yehova wakati wa sherehe,+ wale wanaoingia kupitia lango la kaskazini+ ili kuabudu, wanapaswa kutoka kupitia lango la kusini,+ na wale wanaoingia kupitia lango la kusini wanapaswa kutoka kupitia lango la kaskazini. Mtu yeyote asirudi kupitia lango aliloingilia, kwa maana wanapaswa kutoka kupitia lango lililo upande mwingine.
-