Ezekieli 46:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Kila siku unapaswa kumtoa mwanakondoo dume asiye na kasoro aliye katika mwaka wake wa kwanza awe dhabihu nzima ya kuteketeza kwa Yehova.+ Unapaswa kufanya hivyo kila asubuhi.
13 “‘Kila siku unapaswa kumtoa mwanakondoo dume asiye na kasoro aliye katika mwaka wake wa kwanza awe dhabihu nzima ya kuteketeza kwa Yehova.+ Unapaswa kufanya hivyo kila asubuhi.