Ezekieli 46:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini akimpa mmoja wa watumishi wake zawadi kutoka katika urithi wake, itakuwa yake mpaka mwaka wa uhuru;+ kisha itarudi kwa kiongozi. Urithi wa wanawe tu ndio utakaokuwa wao daima.
17 Lakini akimpa mmoja wa watumishi wake zawadi kutoka katika urithi wake, itakuwa yake mpaka mwaka wa uhuru;+ kisha itarudi kwa kiongozi. Urithi wa wanawe tu ndio utakaokuwa wao daima.