Ezekieli 47:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Upande wa mashariki mpaka huo unapita kati ya Haurani na Damasko na kando ya Yordani kati ya Gileadi+ na nchi ya Israeli. Mnapaswa kupima kutoka mpakani hadi kwenye bahari ya mashariki.* Huo ndio mpaka wa mashariki.
18 “Upande wa mashariki mpaka huo unapita kati ya Haurani na Damasko na kando ya Yordani kati ya Gileadi+ na nchi ya Israeli. Mnapaswa kupima kutoka mpakani hadi kwenye bahari ya mashariki.* Huo ndio mpaka wa mashariki.