Ezekieli 47:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Mpaka wa kusini* utaanzia Tamari hadi kwenye maji ya Meribath-kadeshi,+ kisha utaelekea kwenye lile Korongo* hadi kwenye ile Bahari Kuu.+ Huo ndio mpaka wa kusini.*
19 “Mpaka wa kusini* utaanzia Tamari hadi kwenye maji ya Meribath-kadeshi,+ kisha utaelekea kwenye lile Korongo* hadi kwenye ile Bahari Kuu.+ Huo ndio mpaka wa kusini.*