Danieli 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kisha linganisha sura zetu na sura za vijana* wanaokula vyakula bora vya mfalme, halafu ututendee sisi watumishi wako kulingana na jinsi tunavyoonekana machoni pako.” Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:13 Mnara wa Mlinzi,12/1/1988, uku. 15
13 kisha linganisha sura zetu na sura za vijana* wanaokula vyakula bora vya mfalme, halafu ututendee sisi watumishi wako kulingana na jinsi tunavyoonekana machoni pako.”