24 Kisha Danieli akaenda kwa Arioko, ambaye alikuwa ameteuliwa na mfalme kuwaangamiza wanaume wenye hekima wa Babiloni,+ akamwambia: “Usimwangamize mwanamume yeyote mwenye hekima wa Babiloni. Nipeleke mbele ya mfalme, nami nitamweleza mfalme maana ya ndoto yake.”