Danieli 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini kuna Wayahudi fulani uliowaweka kuwa wasimamizi wa mkoa wa* Babiloni: Shadraki, Meshaki, na Abednego.+ Wanaume hawa hawajakuheshimu wewe, Ee mfalme. Hawaabudu miungu yako, na wanakataa kuabudu sanamu ya dhahabu ambayo umesimamisha.” Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:12 dp 74-75 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:12 Unabii wa Danieli, kur. 74-75
12 Lakini kuna Wayahudi fulani uliowaweka kuwa wasimamizi wa mkoa wa* Babiloni: Shadraki, Meshaki, na Abednego.+ Wanaume hawa hawajakuheshimu wewe, Ee mfalme. Hawaabudu miungu yako, na wanakataa kuabudu sanamu ya dhahabu ambayo umesimamisha.”