Danieli 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Nebukadneza akawakasirikia vikali Shadraki, Meshaki, na Abednego hivi kwamba sura yake ikabadilika * kuwaelekea, akaagiza tanuru liongezwe moto mara saba kuliko kawaida. Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:19 Mnara wa Mlinzi,12/1/1988, uku. 15
19 Ndipo Nebukadneza akawakasirikia vikali Shadraki, Meshaki, na Abednego hivi kwamba sura yake ikabadilika * kuwaelekea, akaagiza tanuru liongezwe moto mara saba kuliko kawaida.