-
Danieli 3:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Kwa hiyo ninaagiza kwamba watu wa kabila lolote, taifa, au lugha ambao watasema jambo lolote dhidi ya Mungu wa Shadraki, Meshaki, na Abednego, wanapaswa kukatwa vipandevipande, na nyumba zao zinapaswa kugeuzwa kuwa vyoo vya umma;* kwa maana hakuna mungu mwingine yeyote anayeweza kuokoa kama huyu.”+
-