Danieli 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza,+ alikuwa na roho isiyo ya kawaida na ujuzi na ufahamu wa kueleza maana ya ndoto, kufumbua mafumbo, na kutatua matatizo magumu.*+ Basi agiza Danieli aitwe, atakwambia maana ya maandishi haya.” Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 5:12 dp 106 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:12 Unabii wa Danieli, kur. 105-106
12 Kwa maana Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza,+ alikuwa na roho isiyo ya kawaida na ujuzi na ufahamu wa kueleza maana ya ndoto, kufumbua mafumbo, na kutatua matatizo magumu.*+ Basi agiza Danieli aitwe, atakwambia maana ya maandishi haya.”