Danieli 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mwishowe wanaume hao wakaenda mbele ya mfalme wakiwa kikundi na kumwambia: “Ee mfalme, zingatia kwamba sheria ya Wamedi na Waajemi inasema kwamba marufuku yoyote au amri yoyote iliyowekwa na mfalme haiwezi kubadilishwa.”+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 6:15 dp 120 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:15 Unabii wa Danieli, uku. 120
15 Mwishowe wanaume hao wakaenda mbele ya mfalme wakiwa kikundi na kumwambia: “Ee mfalme, zingatia kwamba sheria ya Wamedi na Waajemi inasema kwamba marufuku yoyote au amri yoyote iliyowekwa na mfalme haiwezi kubadilishwa.”+