Danieli 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Nikaendelea kutazama wakati huo kwa sababu ya mvumo wa maneno ya kiburi* yaliyokuwa yakisemwa na pembe hiyo;+ nilitazama mpaka mnyama huyo alipouawa na mwili wake ukaharibiwa na kutolewa ili uchomwe moto. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:11 dp 144-145 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:11 Unabii wa Danieli, kur. 144-145
11 “Nikaendelea kutazama wakati huo kwa sababu ya mvumo wa maneno ya kiburi* yaliyokuwa yakisemwa na pembe hiyo;+ nilitazama mpaka mnyama huyo alipouawa na mwili wake ukaharibiwa na kutolewa ili uchomwe moto.