Amosi 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova anasema hivi: ‘Kama mchungaji anavyompokonya simba miguu miwili au kipande cha sikio kutoka kinywani mwake,Hivyo ndivyo watu wa Israeli watakavyookolewa,Wale ambao sasa wanaketi kwenye vitanda vya kifahari na kwenye makochi bora* kule Samaria.’+
12 Yehova anasema hivi: ‘Kama mchungaji anavyompokonya simba miguu miwili au kipande cha sikio kutoka kinywani mwake,Hivyo ndivyo watu wa Israeli watakavyookolewa,Wale ambao sasa wanaketi kwenye vitanda vya kifahari na kwenye makochi bora* kule Samaria.’+