Amosi 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Watu wa majiji mawili au matatu walipepesuka kwenda kwenye jiji moja kunywa maji,+Nao hawakutosheka;Lakini hamkunirudia,’+ asema Yehova.
8 Watu wa majiji mawili au matatu walipepesuka kwenda kwenye jiji moja kunywa maji,+Nao hawakutosheka;Lakini hamkunirudia,’+ asema Yehova.