Amosi 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kundi hilo la nzige lilipomaliza kula mimea nchini, nikasema: “Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, tafadhali samehe!+ Yakobo ataendeleaje kuishi?* Kwa maana yuko dhaifu!”+
2 Kundi hilo la nzige lilipomaliza kula mimea nchini, nikasema: “Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, tafadhali samehe!+ Yakobo ataendeleaje kuishi?* Kwa maana yuko dhaifu!”+