17 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: “Mke wako atakuwa kahaba jijini, na wana wako na mabinti wako watauawa kwa upanga. Ardhi yako itagawanywa kwa wengine kwa kamba ya kupimia, na wewe mwenyewe utafia katika nchi isiyo safi; na kwa hakika Waisraeli watapelekwa uhamishoni kutoka katika nchi yao.”’”+