7 Sanamu zake zote za kuchongwa zitavunjwa vipandevipande,+
Na zawadi zote alizopewa kwa sababu ya ukahaba wake zitateketezwa motoni.+
Nitaharibu kabisa sanamu zake zote.
Kwa sababu alizikusanya kwa kutumia malipo ya ukahaba,
Nazo zitakuwa tena malipo ya makahaba.”