-
Hagai 2:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 “Mtu akibeba nyama takatifu ndani ya upindo wa vazi lake, na vazi lake liguse mkate au mchuzi au divai au mafuta au chakula cha aina yoyote, je, kitakuwa kitakatifu?”’”
Makuhani wakajibu: “Hapana!”
-