Zekaria 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama jiwe ambalo nimeweka mbele ya Yoshua! Jiwe hili moja lina macho saba; nami ninachonga maandishi juu yake,’ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitaondoa hatia ya nchi hiyo kwa siku moja.’+
9 Tazama jiwe ambalo nimeweka mbele ya Yoshua! Jiwe hili moja lina macho saba; nami ninachonga maandishi juu yake,’ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitaondoa hatia ya nchi hiyo kwa siku moja.’+