Zekaria 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami nikaanza kulichunga kundi la kondoo wanaopaswa kuchinjwa,+ kwa faida yenu, enyi kondoo mnaoteseka. Kwa hiyo nikachukua fimbo mbili, moja nikaiita Uzuri, na nyingine Muungano,+ nikaanza kulichunga kundi hilo la kondoo. Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:7 “Kila Andiko,” uku. 171 Mnara wa Mlinzi,6/15/1989, uku. 31
7 Nami nikaanza kulichunga kundi la kondoo wanaopaswa kuchinjwa,+ kwa faida yenu, enyi kondoo mnaoteseka. Kwa hiyo nikachukua fimbo mbili, moja nikaiita Uzuri, na nyingine Muungano,+ nikaanza kulichunga kundi hilo la kondoo.