Zekaria 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi nikachukua fimbo yangu inayoitwa Uzuri+ na kuikatakata, na hivyo nikavunja agano langu nililokuwa nimefanya na mataifa yote. Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:10 Mnara wa Mlinzi,6/15/1989, uku. 31
10 Basi nikachukua fimbo yangu inayoitwa Uzuri+ na kuikatakata, na hivyo nikavunja agano langu nililokuwa nimefanya na mataifa yote.