Zekaria 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ole wake mchungaji wangu asiyefaa,+ anayeliacha kundi!+ Upanga utakata mkono wake na jicho lake la kulia. Mkono wake utapooza kabisa,Na jicho lake la kulia litapofuka* kabisa.”
17 Ole wake mchungaji wangu asiyefaa,+ anayeliacha kundi!+ Upanga utakata mkono wake na jicho lake la kulia. Mkono wake utapooza kabisa,Na jicho lake la kulia litapofuka* kabisa.”