-
Zekaria 12:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Siku hiyo,” asema Yehova, “nitamtia hofu kila farasi na kumtia wazimu yule anayempanda. Nitaikazia macho nyumba ya Yuda, lakini nitampofusha kila farasi wa mataifa.
-