-
Zekaria 12:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Siku hiyo nitawafanya mashehe wa Yuda wawe kama chungu cha moto kati ya kuni na kama mwenge unaowaka kati ya safu ya miganda iliyokatwa ya nafaka,+ nao watayateketeza mataifa yote jirani yaliyo upande wa kulia na wa kushoto;+ na jiji la Yerusalemu litakuwa tena na wakaaji mahali pake,* huko Yerusalemu.+
-