Zekaria 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini ikiwa taifa lolote miongoni mwa mataifa yaliyo duniani halitapanda kwenda Yerusalemu kumwinamia Mfalme, Yehova wa majeshi, mvua haitanyesha katika taifa hilo.+
17 Lakini ikiwa taifa lolote miongoni mwa mataifa yaliyo duniani halitapanda kwenda Yerusalemu kumwinamia Mfalme, Yehova wa majeshi, mvua haitanyesha katika taifa hilo.+