-
Mathayo 16:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni, na lolote utakalofunga duniani tayari litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote utakalofungua duniani tayari litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
-
-
Mathayo 16:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
19 Hakika nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbingu, na lolote lile ambalo huenda ukafunga juu ya dunia litakuwa ndilo jambo lililofungwa katika mbingu, na lolote lile ambalo huenda wewe ukafungua juu ya dunia litakuwa ndilo jambo lililofunguliwa katika mbingu.”
-