-
Mathayo 19:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Wanafunzi wakamwambia: “Ikiwa hali iko hivyo kati ya mtu na mke wake, ni afadhali mtu asioe.”
-
-
Mathayo 19:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 Wanafunzi wakamwambia: “Ikiwa hali iko namna hiyo ya mwanamume pamoja na mke wake, haifai kuoa.”
-