-
Marko 6:14Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
14 Basi ikafika masikioni mwa Mfalme Herode, kwa maana jina la Yesu lilipata kujulikana na watu wote, na watu walikuwa wakisema: “Yohana mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, na kwa sababu hiyo kazi zenye nguvu zinatenda ndani yake.”
-