-
Marko 16:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Walikuwa wakiulizana: “Ni nani atakayetuviringishia lile jiwe kutoka kwenye mwingilio wa kaburi?”
-
-
Marko 16:3Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
3 Nao walikuwa wakisemezana mtu na mwenzake: “Nani atakayetubingirishia hilo jiwe kutoka kwenye mlango wa kaburi la ukumbusho?”
-