-
Yohana 1:46Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
46 Lakini Nathanaeli akamuuliza: “Je, kitu chochote kizuri kinaweza kutoka Nazareti?” Filipo akamjibu: “Njoo uone.”
-
-
Yohana 1:46Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
46 Lakini Nathanaeli akamwambia: “Je, kitu chochote kilicho chema chaweza kuja kutoka Nazareti?” Filipo akamwambia: “Njoo uone.”
-