-
Yohana 16:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Ndipo baadhi ya wanafunzi wake wakaulizana: “Anamaanisha nini anapotuambia, ‘Baada ya muda kidogo hamtaniona, na tena, baada ya muda kidogo mtaniona,’ na, ‘kwa sababu ninaenda kwa Baba’?”
-
-
Yohana 16:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 Kwa hiyo baadhi ya wanafunzi wake wakaambiana: “Hili lamaanisha nini ambalo atuambia, ‘Baada ya muda kidogo hamtaniona, na, tena, baada ya muda kidogo mtaniona,’ na, ‘kwa sababu ninaenda kwa Baba’?”
-