-
Ufunuo 2:1Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
2 “Kwa malaika wa kutaniko katika Efeso andika: Haya ndiyo mambo asemayo yeye ashikaye zile nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye atembeaye katikati ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu,
-