-
Ufunuo 18:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “Wafanyabiashara waliouza vitu hivyo, waliopata utajiri kutokana naye, watasimama mbali kwa sababu ya kuogopa kuteseka kwake nao watalia na kuomboleza,
-
-
Ufunuo 18:15Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
15 “Wafanya-biashara wanaosafiri wa vitu hivyo, waliopata kuwa matajiri kutokana naye, watasimama umbali fulani kwa sababu ya hofu yao juu ya kuteswa-teswa kwake na watatoa machozi na kuomboleza,
-