Mwanzo 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha akajenga madhabahu huko. Akaanza kupaita mahali hapo El-betheli, kwa sababu Mungu wa kweli alikuwa amejifunua kwake mahali hapo alipokuwa akimkimbia ndugu yake.+
7 Kisha akajenga madhabahu huko. Akaanza kupaita mahali hapo El-betheli, kwa sababu Mungu wa kweli alikuwa amejifunua kwake mahali hapo alipokuwa akimkimbia ndugu yake.+