Mwanzo 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha akamsimulia baba yake na ndugu zake vilevile, na baba yake akamkemea na kumwambia:+ “Ndoto hii ambayo umeota inamaanisha nini? Je, mimi na pia mama yako na ndugu zako kwa kweli tutakuja na kukuinamia?”
10 Kisha akamsimulia baba yake na ndugu zake vilevile, na baba yake akamkemea na kumwambia:+ “Ndoto hii ambayo umeota inamaanisha nini? Je, mimi na pia mama yako na ndugu zako kwa kweli tutakuja na kukuinamia?”