Mwanzo 37:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Baada ya muda, Israeli akamwambia Yosefu: “Je, ndugu zako hawachungi makundi karibu na Shekemu? Njoo, nikutume kwao.” Basi akamjibu, akamwambia: “Mimi hapa!”+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 37:13 Mnara wa Mlinzi,8/1/2014, uku. 13
13 Baada ya muda, Israeli akamwambia Yosefu: “Je, ndugu zako hawachungi makundi karibu na Shekemu? Njoo, nikutume kwao.” Basi akamjibu, akamwambia: “Mimi hapa!”+