Mwanzo 41:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha wale ng’ombe waliokuwa na sura mbaya, waliokonda, wakaanza kuwala wale ng’ombe saba waliokuwa na sura nzuri, wanono.+ Basi Farao akaamka.+
4 Kisha wale ng’ombe waliokuwa na sura mbaya, waliokonda, wakaanza kuwala wale ng’ombe saba waliokuwa na sura nzuri, wanono.+ Basi Farao akaamka.+