Mwanzo 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Farao aliwakasirikia watumishi wake.+ Kwa hiyo akanitia katika jela ya nyumba ya mkuu wa walinzi,+ mimi na mkuu wa waokaji.
10 Farao aliwakasirikia watumishi wake.+ Kwa hiyo akanitia katika jela ya nyumba ya mkuu wa walinzi,+ mimi na mkuu wa waokaji.