Mwanzo 42:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtumeni mmoja wenu akamlete ndugu yenu, huku ninyi mkiwa mmefungwa, ili maneno yenu yajaribiwe kama ni ya kweli.+ Ikiwa sivyo, basi, kama Farao anavyoishi, ninyi ni wapelelezi.”
16 Mtumeni mmoja wenu akamlete ndugu yenu, huku ninyi mkiwa mmefungwa, ili maneno yenu yajaribiwe kama ni ya kweli.+ Ikiwa sivyo, basi, kama Farao anavyoishi, ninyi ni wapelelezi.”