Mwanzo 43:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yosefu alipomwona Benyamini akiwa pamoja nao, akamwambia mara moja mtu aliyekuwa juu ya nyumba yake: “Wapeleke watu hawa nyumbani, uchinje wanyama na kufanya matayarisho,+ kwa sababu watu hawa watakula pamoja nami mchana.”
16 Yosefu alipomwona Benyamini akiwa pamoja nao, akamwambia mara moja mtu aliyekuwa juu ya nyumba yake: “Wapeleke watu hawa nyumbani, uchinje wanyama na kufanya matayarisho,+ kwa sababu watu hawa watakula pamoja nami mchana.”