18 Lakini hao watu wakaogopa kwa sababu walikuwa wamepelekwa nyumbani kwa Yosefu,+ wakaanza kusema: “Tunaletwa hapa ili watuangukie na kutushambulia na kutuchukua tuwe watumwa na pia punda zetu kwa sababu ya pesa tulizorudi nazo katika mifuko yetu pale mwanzoni!”+