Mwanzo 43:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sasa Yosefu alikuwa akiharakisha, kwa sababu hisia zake za ndani zilianza kusisimuka kumwelekea ndugu yake,+ hata akatafuta mahali pa kulilia, naye akaingia katika chumba cha ndani, akaanza kulia machozi humo.+
30 Sasa Yosefu alikuwa akiharakisha, kwa sababu hisia zake za ndani zilianza kusisimuka kumwelekea ndugu yake,+ hata akatafuta mahali pa kulilia, naye akaingia katika chumba cha ndani, akaanza kulia machozi humo.+